A photo had earlier circulated on social media showing Michael Makarina who has been using a wheelchair standing next to his car.
The photo was accompanied by a claims that he had received a miracle healing thanks to Prophet Owuor's prayers.
Following that, Michael Makarina took to his official Facebook Page and addressed the claims. He confirmed that he indeed received a miracle healing from Prophet Owuor.
He also issued a stern warning, to curious Kenyans who might accuse him of faking disability, making it clear that he does expect such questions as those that appear to question his earlier disability.
"Kwa wale Thomas ambao hawaamini katika uponyaji, kupitia Nabii wa Mungu Prophet Owuor, nyinyi endeleeni kukaa hapo na imani yenu nyepesi.Mimi nimepokea uponyaji, ni vile tu Miguu iko na woga kutembea sababu haijazoea.
Lakini tukikutana na wewe nikitembea, Niambie BWANA YESU ASIFIWE ... Hiyo tu sitaki maswali ingine kama vile kuumbe unatembeanga usiku Makarina,... Nitakupasua Kofi na teke uone vimulimuli.
Wacheni prophet Owuor aendelee kufanya kazi ya Mungu kwa wale wako na imani na nyinyi msio nayo, kaeni na Shinda zenu.
Mungu ni mwema kila wakati kwa wenye imani.PRAYES LINE PROPHET OWUOR +254715276091" reads Michael Makarina's full message.